Nenda kwa yaliyomo

riba

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

riba

  1. Gharama ya kukopa fedha, inayopimwa kama asilimia ya kiasi kilichokopwa. Ni malipo anayotozwa mkopaji na taasisi ya fedha kwa kumpa fursa ya kutumia fedha zake kwa muda maalum; interest rate.