Nenda kwa yaliyomo

faida

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

faida

  1. hali ya bei ya kuuza kuzidi ya kununua
  2. ni hali au jambo ambalo linapelekea au linasababisha matokeo mazuri au manufaa.
  3. Ni kitu ambacho kinaweza kuwa na thamani au mchango mzuri kwa mtu au kwa hali fulani.

Kisawe

[hariri]


Tafsiri

[hariri]