Nenda kwa yaliyomo

rasilimali

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

==Kiswahili==

Nomino

[hariri]

rasilimali n-n (wingi rasilimali)

  1. Sehemu yoyote ya kompyuta inayoweza kutumiwa na programu, kama vile kichakato (CPU) au kumbukumbu ya muda (RAM).

Tafsiri

[hariri]

== Kiswahili ==

Nomino

[hariri]

rasilimali

  1. Chanzo chochote cha ugavi ambacho kinaweza kutumiwa na biashara kuzalisha bidhaa au kutoa huduma. Rasilimali zinaweza kuwa za kifedha (fedha), za kimwili (majengo), au za kibinadamu (wafanyakazi); resources.