rasilimali
Mandhari
==Kiswahili==
Nomino
[hariri]rasilimali n-n (wingi rasilimali)
- Sehemu yoyote ya kompyuta inayoweza kutumiwa na programu, kama vile kichakato (CPU) au kumbukumbu ya muda (RAM).
Tafsiri
[hariri]== Kiswahili ==
Nomino
[hariri]rasilimali
- Chanzo chochote cha ugavi ambacho kinaweza kutumiwa na biashara kuzalisha bidhaa au kutoa huduma. Rasilimali zinaweza kuwa za kifedha (fedha), za kimwili (majengo), au za kibinadamu (wafanyakazi); resources.
|