njiwa

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Njiwa-mjini

Nomino[hariri]

njiwa (wingi njiwa)

  1. aina ya ndege mkubwa kiasi mwenye rangi za kijivu na nyeupe; njiwa mweupe kabisa hutumika kuonyesha amani.

Visawe[hariri]

Tafsiri[hariri]

Wikipedia ya Kiswahili ina makala kuhusu:

sw