ndege
Mandhari
Kiswahili
[hariri]NOMINO
[hariri]

Nomino
[hariri]ndege (bird)
- aina ya mnyama ambaye anaweza kupaa; ana mikia na mabawa
- chombo cha kusafiri hewani kinachoongozwa na Rubani kinachobeba abiria na mizigo kwa umbali mrefu
- Usafiri hewani na ndege za makampuni mbali mbali