Nenda kwa yaliyomo

mpinzani

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mpinzani (wingi wapinzani)

  1. mtu ambaye hakubaliani na jambo au fikra za mtu au watu wengine
  2. Mtu anayeshindana dhidi ya mtu mwingine katika mchezo fulani.

Visawe

[hariri]
  • Mshindani

Matumizi katika sentensi

[hariri]
  • Kabla ya pambano, lazima usome mbinu za mpinzani wako iliujue jinsi ya kumshinda.

Etimolojia

[hariri]

Kutoka kitenzi cha Kiswahili *pinga*.

Tafsiri

[hariri]