mpinzani
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]mpinzani (wingi wapinzani)
- mtu ambaye hakubaliani na jambo au fikra za mtu au watu wengine
- Mtu anayeshindana dhidi ya mtu mwingine katika mchezo fulani.
Visawe
[hariri]- Mshindani
Matumizi katika sentensi
[hariri]- Kabla ya pambano, lazima usome mbinu za mpinzani wako iliujue jinsi ya kumshinda.
Etimolojia
[hariri]Kutoka kitenzi cha Kiswahili *pinga*.