Nenda kwa yaliyomo

mlinzi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mlinzi (wingi walinzi)

mlinzi mkubwa
  1. mtu anayefanya kazi ya kuchunga usalama wa mahali fulani
  2. ndege wa bahari wa familia Procellariidae
  3. michezo, mchezaji anae fanya kazi ya kulinda goli na kuanzisha mashambulizi kutoka golini kwake katika mpira za kikapu au mpira wa miguu.

Tafsiri

[hariri]
Wikipedia ya Kiswahili ina makala kuhusu:

sw