Nenda kwa yaliyomo

makucha

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

makucha

  1. Kucha ndefu zilizopinda na zenye ncha kali za wanyama walanyama na ndege wawindaji.

Tafsiri

[hariri]