Nenda kwa yaliyomo

jumuiya

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

jumuiya (wingi majumuiya)

  1. mkusanyiko wa watu katika jamii

Tafsiri

[hariri]

Kulingana na ngeli, kama wingi wa nomino jumuiya ni majumuiya,basi neno hilo liko katika ngeli ya li-ya.Kamusi na vitabi vingine vinakosea vinapoandikwa "jumuiya ya'.