Nenda kwa yaliyomo

jinsia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

jinsia

  1. hali ya kuwa mwanamke au mwanaume
  2. Kinachohusiana na tofauti au mahusiano kati ya wanaume na wanawake (au jinsia kwa ujumla)
    Mfano: Tafiti nyingi zinaangazia tofauti kijinsia katika elimu na ajira
  3. Kinachohusiana na majukumu, matarajio au nafasi za kijamii zinazotokana na jinsia.
    Mfano: Majukumu kijinsia yanaweza kuathiri uchaguzi wa kazi

Tafsiri

[hariri]