Nenda kwa yaliyomo

mwanamke

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mwanamke (wingi wanawake)

  1. Mtu wa kike; jinsia ya kike katika jamii ya binadamu
    Mfano: Zawadi hutolewa kwa kila mwanamke mwenye alama za juu katika mtihani.

Tafsiri

[hariri]