bundi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

bundi masikio-mafupi

Nomino[hariri]

bundi (wingi mabundi au bundi)

  1. ndege mwenye macho makubwa huweza kuruka na anaaminiwa kuleta laana


Visawe[hariri]

Tafsiri[hariri]

Wikipedia ya Kiswahili ina makala kuhusu:

sw