Nenda kwa yaliyomo

ulimi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

ulimi (wingi ndimi)

  1. Kiungo laini chenye misuli kilichomo kinywani kinachosaidia katika kuonja, kumeza, na kutoa sauti.

Tafsiri

[hariri]