ukungu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

ukungu mzito

Kitenzi[hariri]

ukungu (ukungu)

  1. Ni aina ya mawingu mazito meupe ambayo hutanda ardhini na kusababisha hali ya gizagiza kama inavyokuwa asubuhi sana kabla ya mapambazuko. Hali hii huwafanya watu kutoona vizuri.

Tafsiri[hariri]