shurutisha
Mandhari
Kiswahili
[hariri]kitenzi
[hariri]- kulazimisha mtu afanye kitu kwa nguvu au kwa amri.
- mfano: alimshurutisha mtoto kwenda shuleni. (alimlazimisha mtoto kwenda shuleni).
visawe
[hariri]Tafsiri
[hariri]![]() |
Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana. |