shoga

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

shoga

  1. mtu ambaye hana hisia za kike. Yaani mwanamme anayetaka kufanya mapenzi na mwanamme mwenziwe. Pia aeza itwa msenge
  2. rafiki uliyeshibana naye kiurafiki.
  3. mtu anaye penda kufanya vitu za kikike.

Tafsiri[hariri]