Nenda kwa yaliyomo

raundi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

raundi

  1. hali ya kitu kujiregelea
  2. Kipindi maalum cha muda wa kupigana katika mchezo wa masumbwi, ambacho kawaida hudumu kwa dakika tatu.
  • Pambano hilo lilidumu kwa raundi kumi na mbili kamili.

Tafsiri

[hariri]