Nenda kwa yaliyomo

rat

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Noun

[hariri]

(Wingi; rats)

  1. Ni neno la Kiingereza linalomaanisha mnyama mdogo mgugunaji, mkubwa kuliko panya wa kawaida, na mwenye mkia mrefu.

Tafsiri

[hariri]

Kiswahili; panya