Nenda kwa yaliyomo

pinduliwa

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]
  1. pinduliw.a kt [sie] 1 kupinduliwa au kuondolewa madarakani: Serikali ime~.
  2. 2 (sio rasmi) kuchukua mume au mke wa mtu. "Ndoa yake imepinduliwa."

Tafsiri

[hariri]
Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana.