nyika

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

nyika

  1. sehemu inayoota nyasi na miti michache

Grasslands

AU

Ni sehemu yenye tabia ya ujangwa ambayo haina miti wala majani, na ikitunzwa vizuri majani mafupi huota.