Nenda kwa yaliyomo

nomino za pekee

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]
  1. Nomino za pekee ni maneno yanayotaja majina mahususi ya watu, mahali au vitu ambavyo vina sifa ya pekee. Maneno hayo yanapoandikwa lazima yaanze na herufi kubwa mwanzoni.

Tafsiri

[hariri]
ina makala kuhusu:

Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana.