Nenda kwa yaliyomo

ng'ombe

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

ng'ombe n-n (wingi ng'ombe)

  1. Mnyama mkubwa anayefugwa kwa ajili ya nyama, maziwa na kuvuta plau.
  2. Shimo ambalo kete zinapopatikana zinaweza kuliwa kwenye mchezo wa bao

Tafsiri

[hariri]
 { {sw} }

ng'ombe