mvukizo
Kiswahili[hariri]
Nomino[hariri]
hali ya mvuke unaotoka kwenye majani ya miti, ardhini na maji ya bahari, maziwa namito na kwenda kwenye angahewa.
Tafsiri[hariri]
- Kiingereza Evapotranspiration (en)
hali ya mvuke unaotoka kwenye majani ya miti, ardhini na maji ya bahari, maziwa namito na kwenda kwenye angahewa.