mvua ya radi
Kiswahili[hariri]
Nomino[hariri]
- Ni aina ya mvua ya radi ambayo hushuhudiwa katika msimu wa joto na aghalabu huhusishwa na hewa vuguvugu yenye unyevunyevu;huanza kunyesha kutoka mchana hadi machweo.
Tafsiri[hariri]
- Kiingereza Thunderstorm (en)