Nenda kwa yaliyomo

mtoto

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]
mtoto.

Nomino

[hariri]

mtoto m-wa (wingi watoto)

  1. Mnyama mchanga.
    Mtoto inabidi apate malezi bora
    Mtoto anacheza na wenzake

Tafsiri

[hariri]