Nenda kwa yaliyomo

mteule

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Mteule ni mtu aliyechaguliwa kwa ajili ya kufanya jambo fulani Kwa wakristo mteule ni mtu aliyechaguliwa na Mungu kuweza kumshinda shetani na hatimae kuweza kuhurithi uzima wa milele

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mteule (wingi wateule)

  1. waliyochaguliwa

Tafsiri

[hariri]