mteule
Mandhari
Mteule ni mtu aliyechaguliwa kwa ajili ya kufanya jambo fulani Kwa wakristo mteule ni mtu aliyechaguliwa na Mungu kuweza kumshinda shetani na hatimae kuweza kuhurithi uzima wa milele
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]mteule (wingi wateule)
- waliyochaguliwa
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: chosen one (en)