mshauri
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]mshauri (wa- washauri)
- Mtaalam anayetoa ushauri wa kitaalamu kwa mtu binafsi au kampuni katika eneo maalum. Washauri hulipwa kwa ajili ya kutoa mapendekezo na kusaidia kutatua matatizo; consultant.
|