Nenda kwa yaliyomo

monkey

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Noun

[hariri]

(Wingi; monkeys)

  1. Ni neno la Kiingereza linalomaanisha jina la jumla la wanyama wa jamii ya nyani wenye mikia mirefu na wanaoishi juu ya miti.

Tafsiri

[hariri]

Kiswahili; tumbili