microphone
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; microphones)
- Ni neno la Kiingereza linalomaanisha kifaa kinachonasa mawimbi ya sauti na kuyabadilisha kuwa mawimbi ya umeme ili yaweze kurekodiwa.
Tafsiri
[hariri]Kiswahili; maikrofoni