Nenda kwa yaliyomo

mdomo

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mdomo (wingi midomo)

  1. Sehemu ya mwili wa mnyama anayotumia kula.
  2. Sehemu ngumu ya mbele ya kichwa cha ndege.

Tafsiri

[hariri]