mbuni (mmea)

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

mbuni unaozaa beri

Nomino[hariri]

mbuni (mmea) (wingi mibuni)

  1. kichaka kinachozaa buni; kahawa hutengenezwa kutokana na buni

Tafsiri[hariri]