limbuko

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

limbuko (wingi malimbuko)

  1. kuonja jambo mara ya kwanza
  2. tunda au zao la kwanza la shamba au mifugo,hivyo hii ni sadaka itolewayo kwa kumshukuru Mungu kwa kumtolea matunda au mazao ya shamba lako au mifugo ya kwanza kuzaliwa zizini mwako Walawi 2;14,2Fal4:42 na Mt14:16.

Tafsiri[hariri]