Nenda kwa yaliyomo

komba

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

komba n-n (wingi komba)

  1. Mnyama mdogo anayefanana na tumbili anayetoka usiku na ana macho makubwa.

Tafsiri

[hariri]