kinga
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]kinga (wingi kinga)
- Mbinu ya kutumia mikono au mwili kuzuia mapigo ya mpinzani yasilete madhara.
Visawe
[hariri]Matumizi katika sentensi
[hariri]- Bondia huyo alipoteza pambano kwa sababu hakuwa na kinga nzuri ya uso.
Etimolojia
[hariri]Kutoka kitenzi cha Kiswahili *kinga* (zuia).