Nenda kwa yaliyomo

kapteni

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

kapteni (wingi makapteni)

  1. ofisa wa jeshi mwenye cheo chini ya meja
  2. kiongozi wa meli au chombo kingine chochote.
  3. Kiongozi wa kikundi cha wafanyakazi.

Tafsiri

[hariri]