Nenda kwa yaliyomo

jinsi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

jinsi

  1. njia ya kufanya jambo
  2. Hali ya kibaolojia ya kiumbe (kiume au kike); mgawanyiko wa watu au viumbe kwa msingi wa kiume, kike
    Mfano:ensa ilikusanya taarifa kuhusu jinsi ya wakazi wote.
  3. Namna au kundi ambalo kitu kinahusishwa nacho
    Mfano: Kuna jinsi nyingi za vyakula katika utamaduni wa Tanzania.
    Mfano: Hii ni jinsi ya mimea inayostahimili ukame

Kisawe

[hariri]

Tafsiri

[hariri]