Nenda kwa yaliyomo

irabu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

irabu

  1. herufi inayotamkwa kwa kusukuma nje hewa bila kuiwekea kikwazo: kwa mfano irabu za Kiswahili ni a, e, i, o, u.

Pia kuna sauti kama "y" huweza kusimama na kuwa irabu mfano obey /obei/

Tafsiri

[hariri]