Nenda kwa yaliyomo

imani

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

imani

1. hali ya kuwa na hakika juu ya kitu au mtu

2. inaweza kumaanisha dini au mfumo wa kiroho mtu anaoufuata

3. Tumaini au tegemeo kwa kitu au mtu

Mfano

[hariri]
  • Ana imani kubwa katika mafanikio yake
  • Watu wana imani tofauti za kidini

Tafsiri

[hariri]