Nenda kwa yaliyomo

hisa

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

hisa

  1. Hati inayowakilisha sehemu ndogo ya umiliki katika kampuni. Mwenye hisa ana haki ya kupata gawio la faida na kushiriki katika maamuzi ya kampuni kulingana na idadi ya hisa anazomiliki; stock.