Nenda kwa yaliyomo

hasi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Kivumishi

[hariri]

hasi

  1. hali ya kuwa na umeme wa upungufu wa elektroni.
  2. hali au kitu kilichokosa sifa chanya au kinachoonyesha hali ya kutoridhishwa.

Tafsiri

[hariri]