glovu
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]glovu (wingi glovu)
- aina ya vazi inayovaliwa kwenye mkono hasa na madakitari na kimatengezwa na raba
- Kinga maalum za mikono zinazovaliwa na mabondia ili kupunguza makali ya pigo.
- Kabla ya kuanza mazoezi, alivaa glovu zake mpya.
- Umoja: glovu
- Wingi: glovu
- Tafsiri: Kiingereza: gloves