Nenda kwa yaliyomo

fidia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

fidia

  1. malipo au kitu kinachotolewa kama badala ya hasara, madhara au uharibifu uliotokea. gharama ya kitu kilichotekwa nyara

mfano

[hariri]

"kampuni imeweza kulipa fidia kwamfanya kazi aliyeumia kazini"

Tafsiri

[hariri]