Nenda kwa yaliyomo

fadhaika

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Kitenzi

[hariri]

fadhaika (embarrassed)

  1. kuingiwa na wasiwasi, kukosa utulivu au kuwa na hisia za kutokuelewa na hali fulani isiyo na utulivu. Mara nyingi linaweza kutumika kuelezea hali ya kihisia ambayo mtu anajisikia huzuni, wasiwasi au kutatizika kutokana na jambo fulani

Tafsiri

[hariri]