Nenda kwa yaliyomo

dhima

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

dhima

  1. Wajibu wa kisheria au kifedha ambao kampuni inadaiwa na wahusika wengine. Ni madeni ambayo yanapaswa kulipwa katika siku zijazo. Katika uhasibu, dhima ni kinyume cha mali; liability.