Nenda kwa yaliyomo

dhili

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Kitenzi

[hariri]
  1. dhil.i1* kt [ele] 1 jishusha,
  1. tesa. 2 dhalilisha, shusha (tde) dhilia, (tden) dhiliana, (tdew) dhiliwa; (tdk) dhilika; (tds) dhilisha. (Kar.)
Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana.