Nenda kwa yaliyomo

dhifa

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

  1. dhifa nm [i-/zi-] dhifa: ~ ya taifa
  2. Leo kuna dhifa ya kitaifa. Wageni maalumu watashiriki katika dhifa hii.

Tafsiri[hariri]

Kiingereza banquet