Nenda kwa yaliyomo

chenga

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

chenga

  1. hali ya kutoroka kitu
  2. samaki mwenye umbo la mviringo
  3. Mbinu ya mpira ya kumdanganya au kumpita mchezaji wa upande wa pili kwa ujuzi.

Matumizi katika lugha

[hariri]
  • "Huyu jamaa anachenga za kutosha."

Tafsiri

[hariri]