Nenda kwa yaliyomo

chawa

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

chawa n-n (wingi chawa)

1.Mdudu mdogo anayeishi kwenye nywele au manyoya ya wanyama na binadamu na hufyonza damu. 2.mtu anayejipendekeza kupita kiasi kwa mtu mwingine

Mfano

[hariri]

1.Walimu waliwashauri wanafunzi kudumisha usafi ili kuepuka chawa. 2.Usiwe chawa wa watu, jaribu kuwa na msimamo wako mwenyewe.

Tafsiri

[hariri]