chawa
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]chawa n-n (wingi chawa)
1.Mdudu mdogo anayeishi kwenye nywele au manyoya ya wanyama na binadamu na hufyonza damu. 2.mtu anayejipendekeza kupita kiasi kwa mtu mwingine
Mfano
[hariri]1.Walimu waliwashauri wanafunzi kudumisha usafi ili kuepuka chawa. 2.Usiwe chawa wa watu, jaribu kuwa na msimamo wako mwenyewe.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: louse.puppet (en)