Nenda kwa yaliyomo

chaga

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

chaga (jamii ya nomino, ngeli ya i/zi)

  1. Ni neno la kutaja mbao zilizojengwa mahususi kwa ajili ya kitanda. Aghalabu hukaa chini ya kitanda kisha godoro huja juu yake.

Matumizi

[hariri]
  • Chaga za kitanda chako zimevunjika'
Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana.