besheni

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

besheni (besheni)

  1. chombo ambacho hutengenezwa kwa plastiki na huwa yenye ukubwa tofauti na hutumika kuoga mwili mkono sahani na hata matunda

Tafsiri[hariri]